Karibu kwenye mtandao huu wa Uliza Sheria.

SISI NI NANI?

Uliza Sheria imekuja kama suluhisho la matatizo mbali mbali ya kisheria yanayoikumba jamii yetu. Taaluma ya sheria ni moja ya taaluma muhimu sana katika ustawi wa jamii yoyote ya kistaarabu. Ni muhimu sana jamii ikafahamu mambo ya msingi yanayohusu wajibu na haki zao. Uliza Sheria inakuja kama jibu katika changamoto na maswali yanayoikumba jamii yetu.

HUDUMA ZETU

  • Elimu Na Ushauri

    Hapa utapata makala nzuri za elimu ya msingi ya sheria. Pia utapata ushauri wa kisheria kwenye maeneo kama ardhi, kazi, mirathi, ndoa, jinai na madai.

  • Nyaraka Za Kisheria

    Kupitia mtandao huu utapata huduma ya Uandishi wa nyaraka za kisheria, mfano mikataba, wosia, nyaraka za uanzishaji Kampuni n.k.

  • Usimamizi na Uwakilishi

    Kupitia mtandao huu utapata huduma ya usimamizi/uwakilishi wa kesi mahakamani au mabaraza

jifunze kwa makala

Katika mtandao yetu ya Uliza Sheria utakutana na makala nzuri za kisheria zinazokupa mwongozo katika maeneo mbalimbali ya kimaisha, uchambuzi wa sheria mbalimbali, sehemu ya maswali na majibu, uchambuzi wa kesi n.k. Uliza Sheria inakuja kama suluhu ya kumwezesha msomaji kuwa na uwezo wa kutatua changamoto za kisheria yeye mwenyewe