Entries by ulizasheria

Kisa Mkasa 8: Mkulima (Said Mwamwindi) kufanya mauaji ya Mkuu wa Mkoa (Dr.Kleruu) – 4

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji kwenye makala iliyopita tuliweza kuona juu ya utetezi wa kurukwa na akili ulivyojadiliwa na mahakama wakati wa shauri la Saidi Mwamwindi. Tuliona vigezo ambavyo vilitumiwa kuamua endapo wakati akitenda kosa alikuwa na akili timamu au la. Leo tunakwenda kuona utetezi wa Kukasirishwa (Provocation) Utetezi wa Kukasirishwa (Defense of Provocation) Hoja […]

Kisa Mkasa 7: Mkulima (Said Mwamwindi) kufanya mauaji ya Mkuu wa Mkoa (Dr.Kleruu) – 3

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji kwenye makala iliyopita tuliweza kuona kile kilichotokea pale shambani kwa Said Mwamwindi kuhusiana na majibizano baina yake na Dr.Kleruu. Ni kitu gani kilifuata baada ya majibizano haya. Fuatana nami kwenye simulizi hii. Mara baada ya majibizano kati ya Dr.Kleruu na Said Mwamwindi, Said aliingia ndani na kutoka na gobole kisha […]

Kisa Mkasa 6: Mkulima (Said Mwamwindi) kufanya mauaji ya Mkuu wa Mkoa (Dr.Kleruu) – 2

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji kwenye makala iliyopita ilituonesha utangulizi wa kisa hiki cha mauaji kilichojitokeza mwanzoni mwa 1970. Pia tumeweza kufahamu wasifu wa wahusika wakuu kwenye kisa hiki. Leo tunaendelea na mwendelezo wetu wa simulizi hii. Siku ya tarehe 24/12/1971 aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Iringa, Dr.Kleruu alifanya ziara ya kutembelea mashamba mbalimbali maeneo […]

Kisa Mkasa 4: Emmanuel Didas vs MOI

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji kwenye mfululizo wa 4 wa simulizi ya kesi ya Emmanuel Didas vs MOI. Mpaka sasa tumeona jinsi mahakama kuu ilivyoweza kutoa ufafanuzi wa hoja kuu 2 katika kutatua mgogoro huu wa mdai kupata madhara kutokana na uzembe wa kitaaluma. Leo tunakwenda kuangalia hoja ya 3 kuhusu nafuu (reliefs) za kifedha […]

Kisa Mkasa 3: Emmanuel Didas vs MOI

Utangulizi Makala iliyopita ilieleza juu ya Emmanuel Didas kufungua shauri Mahakama Kuu Kanda ya Dar Es Salaam kudai fidia kutokana na uzembe uliojitokeza na madai yaliyowasilishwa dhidi ya wadaiwa. Tuliona hoja kuu ambazo Mahakama ilizitumia katika kuamua shauri hili na kisha Mahakama kuthibitisha hoja ya kwanza muhimu kuhusiana na uzembe uliojitokeza mahakamani. Leo tunakwenda kuangalia […]

Kisa Mkasa 2: Emmanuel Didas vs MOI

Utangulizi Katika makala iliyopita tumeweza kuona sehemu ya kwanza ya Kisa cha Emmanuel Didas dhidi ya MOI (Hospitali ya Muhimbili kitengo cha mifupa) ambapo habari za wangonjwa kufanyiwa upasuaji tofauti na mazingira ya ugonjwa wao zilishtua hadhira kubwa ya Tanzania mwishoni mwa mwaka 2007. Makala iliyopita ilieleza juu ya Emmanuel Didas kufungua shauri Mahakama Kuu […]

Kisa Mkasa.1: Emmanuel Didas vs MOI

Utangulizi Visa na Mikasa Mahakamani ni ukurasa mpya na maalum kwa wasomaji wetu wa Uliza Sheria mtandao unaokupa fursa ya kujifunza masuala mbalimbali ya kisheria na namna ya kukabiliana na changamoto za kisheria. Visa na Mikasa Mahakamani ni ukurasa maalum unaokuletea matukio ya kweli kabisa ambayo yametokea katika mashauri mbalimbali yaliyofikishwa mahakamani kupata utatuzi wa […]

6. Wadau wa Sheria za Barabarani – Wanaochunga wanyama

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu wa Sheria Barabara kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Ukurasa huu maalum unakuletea uchambuzi wa Sheria mbalimbali zinazohusiana na barabara. Kila siku kuna matukio mengi sana yanaendelea barabarani, lakini si watu wengi wanaojua taratibu zinazopaswa kuchukuliwa ili kushughulikia matukio hayo. Katika makala iliyopita tulijifunza juu […]

5. Wadau wa Sheria za Barabarani – Waendesha Baiskeli

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu wa Sheria Barabara kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Ukurasa huu maalum unakuletea uchambuzi wa Sheria mbalimbali zinazohusiana na barabara. Kila siku kuna matukio mengi sana yanaendelea barabarani, lakini si watu wengi wanaojua taratibu zinazopaswa kuchukuliwa ili kushughulikia matukio hayo. Katika makala iliyopita tulijifunza juu […]