Entries by ulizasheria

34. Utatuzi wa Migogoro ya Kazi kwa njia ya Usuluhishi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia kwa utangulizi juu ya utatuzi wa migogoro ya kazi kwa kuzungumzia taratibu za usuluhishi, uamuzi na mahakama. Leo tunaanza kuchambua kila njia ya utatuzi […]

Aina ya Dhamira za Kijinai ‘Kinds of Mens rea’

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala zetu ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita kwenye tuliangalia juu ya Mambo ya Msingi ya Kitendo cha Kijinai. Leo tunakwenda kuangalia tena kwa undani juu ya Aina ya Dhamira za Kijinai ‘Kinds of Mens rea’ […]

Biashara Sheria.6. Biashara kwa Mfumo wa Kampuni

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa ukurasa wetu wa Biashara Sheria. Katika makala iliyopita tumeona mfumo wa uendeshaji biashara na mamlaka inayohusika na usajili wa biashara hizo. Tumeona juu ya makundi makuu 3 ya uendeshaji wa biashara kisheria na usajili wake. Pia tumeangalia juu ya uchambuzi wa mifumo ya biashara binafsi na ile ya ubia. […]

Biashara Sheria.5. Biashara ya Ubia

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa ukurasa wetu wa Biashara Sheria. Katika makala iliyopita tumeona mfumo wa uendeshaji biashara na mamlaka inayohusika na usajili wa biashara hizo. Tumeona juu ya makundi makuu 3 ya uendeshaji wa biashara kisheria na usajili wake. Leo tunakwenda kuchambua mojawapo ya aina ya biashara ya Ubia au ‘Partnership’. Karibu tujifunze. […]

33. Utatuzi wa Migogoro ya Kazi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tumeweza kuzungumza juu ya maana ya migogoro ya kazi na kuzifahamu aina kuu za migogoro yaani migogoro ya maslahi ‘dispute of interest’ na lalamiko ‘dispute […]

32. Migogoro ya Kazi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Kwa kipindi kirefu tumejifunza njia mbalimbali za usitishaji wa ajira. Leo tunaanza kuangalia taratibu za kisheria za utatuzi wa migogoro ya kazi. Karibu tujifunze. Maana ya Mgogoro wa […]

Dhamira ya Kijinai ‘Mens rea’

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita kwenye tuliangalia kwa kiashiria kimojawapo cha kosa la kijinai yaani kitendo cha kijinai ‘actus reus’ tumeona kuwa kitendo cha kijinai kinaweza kuwa suala la kutenda tendo […]

Kitendo cha Kijinai ‘Actus reus’

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita kwenye tuliangalia kwa utangulizi juu ya Viashiria vya Kosa la Jinai, ambapo tulijadili juu ya historia ya adhabu kwa makosa ya jinai na mabadiliko yake. Leo […]

Viashiria vya Kosa la Jinai

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Katika makala iliyopita kwenye ukurasa huu tulianza kuangalia namna mbalimbali za utetezi kutokana na makosa ya kijinai. Leo tunakwenda kuangalia juu ya Viashiria vya Kosa la Jinai. Historia ya […]