64. Nifanye Nini ukomo wa muda wa madai ukipita?
Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi. Katika makala iliyopita tumeangalia juu ya ukomo wa muda katika mashauri ya kazi hasa suala la madai ya mishahara. Tumeona jinsi sheria inavyoweka muda wa kufuatilia madai. Leo tunaangalia juu nini unaweza kufanya endapo muda wa ukomo wa madai umeisha. […]
You must be logged in to post a comment.