52. Kudharau Mamlaka ya Mwajiri
Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi. Katika makala iliyopita tumeona juu ya Utoro Uliokithiri au Kutelekeza Kazi. Leo tunaangalia juu kosa la Kudharau Mamlaka ya Mwajiri. Karibu tujifunze. Maana ya Kudharau Mamlaka ya Mwajiri Kudharau mamlaka ya mwajiri ni aina nyingine ya utovu wa nidhamu anaoweza […]
You must be logged in to post a comment.