Entries by ulizasheria

22. Usitishaji wa Ajira kwa Wafanyakazi katika kipindi cha Majaribio.

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi. Leo tunaangalia juu ya usitishaji wa Ajira kwa wafanyakazi walio katika kipindi cha majaribio. Karibu tujifunze. Ajira na Kipindi cha Majaribio (Probation Period) Sheria ya Ajira inatambua hitaji la mwajiri katika kumpima mfanyakazi endapo anakidhi viwango na vigezo vya kumwajiri […]

Nini cha kufanya kuzuia uvamizi wa eneo langu?

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kujibu mambo ya msingi ya kufanya ili kuzuia eneo lako lisivamiwe. Karibu tujifunze. Maana ya Uvamizi wa Eneo/ Ardhi […]

Jinsi ya kuepusha Mgogoro wa Mipaka katika Ardhi?

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu  kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kujibu moja ya changamoto zinazowakuta wamiliki wa ardhi katika matatizo ya mpaka. Karibu tujifunze. Nini maana ya Mpaka Mpaka […]

21. Usitishaji wa Ajira wa Kujiuzulu kwa Lazima

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi, tumeendelea kuwa pamoja kwa kipindi chote hiki. Katika makala ya Uchambuzi wa Sheria.15. Aina za Usitishaji Ajira Kihalali tulizungumzia Aina za Usitishaji wa Ajira Kihalali. Mojawapo ya usitushaji huo ni ule unaofanywa na mfanyakazi. Leo tunakwenda kuangalia mazingira ambayo mfanyakazi […]

Nifanye Nini wakati wa Kuuza Ardhi?

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku.makala iliyopita tuliangalia juu ya mambo ya msingi kuzingatia wakati wa kununua eneo/ardhi. Leo tunakwenda kujibu moja ya changamoto inayowakuta watu wengi […]

Nifanye Nini wakati wa Kununua Ardhi?

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kujibu moja ya changamoto inayowakuta watu wengi wanapoamua kununua eneo/ardhi kwa ajili ya shughuli mbalimbali. Karibu tujifunze. Biashara ya […]

Mipaka ya Utendaji wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Uhuru wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Leo tunaendelea na mfululizo makala […]

20. Kigezo cha Kuzingatia Sheria ya Ajira katika kusitisha Ajira

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi, tumeendelea kuwa pamoja kwa kipindi chote hiki. Makala iliyopita tuliangalia kigezo cha Vipengele vya Mkataba katika usitishaji wa ajira. Katika makala ya leo tunaangalia kigezo kingine cha Kuzingatia Sheria ya Ajira. Karibu tujifunze. Maana ya Kigezo cha Sheria ya Ajira […]

Uhuru wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya […]

Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Hali ya Hatari. Leo tunaangalia juu ya Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora […]