Entries by ulizasheria

19. Kigezo cha Kuzingatia Vipengele vya Mkataba katika kusitisha Ajira

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi, tumeendelea kuwa pamoja kwa kipindi chote hiki. Makala iliyopita tuliangalia kigezo cha Utaratibu wa Haki katika kusitisha ajira kihalali. Katika makala ya leo tunaangalia kigezo kingine cha Kuzingatia Vipengele vya Mkataba. Karibu tujifunze. Maana ya Vipengele vya Mkataba Mahusiano ya […]

Hali ya Hatari

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Hifadhi ya Haki na Wajibu. Leo tunajadili juu ya Hali ya Hatari kwenye Katiba ya […]

Hifadhi kwa Haki na Wajibu

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Mipaka ya Haki na Uhuru. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya wajibu wa kila mwanajamii […]

18. Utaratibu wa Haki katika kusitisha Ajira

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi, tumeendelea kuwa pamoja kwa kipindi chote hiki. Makala iliyopita tuliangalia kigezo cha Uwepo wa Sababu za halali katika usitishaji wa ajira. Katika makala ya leo tunaangalia kigezo kingine cha Utaratibu wa Haki. Karibu tujifunze. Maana ya Utaratibu wa Haki katika […]

Mipaka ya Haki na Uhuru

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Haki na Wajibu Muhimu. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya wajibu wa kila mwanajamii kama […]

Haki na Wajibu Muhimu

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya wajibu wa Kulinda Taifa. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya wajibu wa kila mwanajamii kama […]

58. Wajibu wa Kulinda Taifa

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya wajibu wa Kulinda Mali ya Umma. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya wajibu wa kila […]

17. Sababu za Kusitisha Ajira

  Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi, tumeendelea kuwa pamoja kwa kipindi chote hiki. Makala iliyopita tulitaja kwa kifupi vigezo ambavyo mwajiri anapaswa kuvizingatia endapo anakusudia kusitisha ajira ya mfanyakazi. Katika makala ya leo tunaanza kuvichambua vigezo hivyo kila kimoja peke yake. Karibu tujifunze. Maana ya […]

Wajibu wa Kulinda Mali ya Umma

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz . Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Utii wa Sheria. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya wajibu wa kila mwanajamii kama […]

Wajibu wa Kutii Sheria za Nchi

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz . Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Katazo la Kazi za Shuruti. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya wajibu wa kila […]