Sheria Leo.Hatua Dhidi ya Wanaochukua Sheria Mkononi
Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu wa Sheria Leo kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku.tumekuwa na mfululizo wa makala zinazohusu tabia ya watu kujichukulia sheria mkononi. Leo tunaangalia hatua dhidi ya watu wanaojichukulia […]
You must be logged in to post a comment.