Entries by ulizasheria

47.B. Madai Mengine Muhimu katika Usitishaji wa Ajira

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Katika makala iliyopita tumeanza kuchambua hoja na swali linalohusu aina na dai au madai ambayo mfanyakazi anaweza kudai endapo ataachishwa kazi isivyo kihalali. Leo tunaendelea kuangalia juu ya Madai Mengine Muhimu wakati wa Usitishaji wa Ajira Nini unaweza kudai endapo umeachishwa kazi […]

Sheria Leo. Hatua za Kuchukua dhidi ya Ukatili kwenye Mahusiano

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Tumejifunza kwa muda mrefu juu ya makosa mbali mbali na namna ya kisheria kosa linavyotokea kwa kitendo na dhamira. Katika makala iliyopita tuliangalia ‘Kwa nini watu husita kuchukua hatua […]

Sheria Leo. Ulinzi wa Kisheria dhidi ya Ukatili kwenye Mahusiano

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Tumejifunza kwa muda mrefu juu ya makosa mbali mbali na namna ya kisheria kosa linavyotokea kwa kitendo na dhamira. Katika makala iliyopita tulianza kuangalia juu ya Jinai ya Kipigo […]

47.A. Madai Mengine Muhimu katika Usitishaji wa Ajira

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Katika makala iliyopita tumeanza kuchambua hoja na swali linalohusu aina na dai au madai ambayo mfanyakazi anaweza kudai endapo ataachishwa kazi isivyo kihalali. Tumeona juu ya ufafanuzi katika Dai la Fidia. Leo tunaenda kuangalia juu ya madai mengine muhimu. Tunaendelea kujibu swali […]

46. Dai la Fidia

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Katika makala iliyopita tumeanza kuchambua hoja na swali linalohusu aina na dai au madai ambayo mfanyakazi anaweza kudai endapo ataachishwa kazi isivyo kihalali. Tumeona juu ya ufafanuzi katika Dai la Kurudishwa Kazini. Leo tunaenda kuangalia juu ya Dai la Fidia huku tukiendelea […]

Sheria Leo. Jinai ya Kipigo kwenye Mahusiano

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa makala za Sheria Leo ambapo umekuwa ukipata maarifa juu ya sheria mbali mbali na dhana kadhaa za kisheria kila siku. Tumejifunza kwa muda mrefu juu ya makosa mbali mbali na namna ya kisheria kosa linavyotokea kwa kitendo na dhamira. Leo tunaenda kuangalia juu ya Jinai ya Kipigo kwenye mahusiano. […]

45. Dai la Kurudishwa Kazini

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Kwa sehemu kubwa tumeichambua sheria ya kazi katika maeneo mbalimbali na kueleza dhana kadhaa kuhusiana na ajira. Mfululizo huu unaoanza kwenye makala ya leo tutakuwa tukijibu hoja na maswali mbalimbali yanayohusiana na ajira ambayo tuliyapokea kwa njia ya simu, e-mail na kuwashauri […]

44. Dhana ya Kukazia Uamuzi wa Tume

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu ya Haki ya Marejeo au Mapitio juu ya Uamuzi wa Tume. Leo tunakwenda kuangalia juu Dhana ya Kukazia Tuzo au Uamuzi wa Tume. […]

43. Haki ya Marejeo au Mapitio ya Tuzo

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu  mamlaka ya mahakama ya kazi. Leo tunakwenda kuangalia juu ya Mamlaka ya Mahakama ya Kazi kufanya Marejeo  au Mapitio ya Maamuzi ya Tume […]