Entries by ulizasheria

Utaratibu wa Umiliki wa Ardhi kwa njia ya Urithi

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji  wa mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tuliangalia juu ya njia mbalimbali za umiliki wa ardhi katika nchi yetu ya Tanzania. Leo tunakwenda kuanza mfululizo wa uchambuzi wa […]

23.B. Usitishaji wa Ajira kwa Utovu wa Nidhamu

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi. Leo tunaendelea kuangalia juu ya usitishaji wa Ajira kwa Utovu wa Nidhamu. Karibu tujifunze. Utovu wa Nidhamu Katika makala iliyopita tulipata utangulizi juu ya utovu wa nidhamu kuwa sababu mojawapo ya kuweza kupelekea mwajiri kusitisha ajira ya mfanyakazi. Pia tulizungumzia […]

Njia ya Umiliki wa Ardhi katika Tanzania

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kuangalia njia mbalimbali za umiliki wa ardhi katika Tanzania. Karibu tujifunze. Umiliki wa Ardhi Katika taifa la Tanzania moja ya rasilimali muhimu […]

75. Mkataba wa Upangishaji wa eneo au nyumba

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kuangalia juu ya mkataba wa upangishaji wa eneo au nyumba. Karibu tujifunze. Mkataba wa Upangishaji Katika mfululizo wa makala […]

23.A. Usitishaji wa Ajira kwa Utovu wa Nidhamu

Utangulizi Ndugu msomaji wa makala za Uchambuzi wa Sheria ambapo tumekuwa tukiichambua Sheria ya Kazi. Leo tunaangalia juu ya usitishaji wa Ajira kwa Utovu wa Nidhamu. makala kuhusu usitishaji wa ajira kutokana na utovu wa nidhamu zitakuwa kwa mfululizo ili kuweza kupata picha nzuri na uelewa mpana kwa waajiri na wafanyakazi juu ya utaratibu na […]

Wajibu wa Mpangaji katika Upangishaji wa ardhi/jengo

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kuangalia juu ya wajibu wa mpangaji katika suala la upangishaji wa ardhi au jengo. Karibu tujifunze. Upangishaji wa ardhi […]

Wajibu wa Mmiliki katika Upangishaji wa ardhi/jengo

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kuangalia juu ya wajibu wa mmiliki katika suala la upangishaji wa ardhi au jengo. Karibu tujifunze. Upangishaji wa ardhi […]

Upangishaji wa Ardhi au Majengo

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kuangalia suala la upangishaji wa ardhi na majengo. Karibu tujifunze. Upangishaji wa ardhi Katika matumizi ya ardhi na majengo […]

Matumizi ya Madalali katika ununuzi au upangishaji wa ardhi.

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kuangalia nafasi ya Madalali katika matumizi ya ardhi. Karibu tujifunze. Dalali ni nani? Watu wengi katika kupata ardhi zao […]

Nifanye nini eneo langu likivamiwiwa na wavamizi wa ardhi?

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu  kwenye mtandao wako wa Uliza Sheria. Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Leo tunakwenda kujibu moja ya changamoto ambayo zinawakuta wamiliki endapo litavamiwa na watu wengine. Karibu tujifunze. Uvamizi wa Maeneo Kama tulivyoona […]