Entries by ulizasheria

42. Mamlaka ya Mahakama ya Kazi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala zilizopita tulikua tukichambua masuala ya nafuu za kisheria endapo Tume itaamua kuwa usitishwaji wa ajira haukua halali. Leo tunaangalia mchakato wa utatuzi wa migogoro ya kazi […]

41.Malipo ya Kisheria kwa Mfanyakazi aliyeachishwa kazi kihalali.

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu  ya nafuu anazostahili mfanyakazi aliyeachishwa kazi pasipo kufuata utaratibu wa kisheria. Leo tunakwenda kuangalia juu ya malipo au stahili anazopaswa kupewa mfanyakazi endapo […]

40. Nafuu kwa Mfanyakazi aliyeachishwa kazi kinyume na Sheria.

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu  ya Tuzo tukijufunza maana yake, uandishi wake na athari zake kwa pande zote. Leo tunakwenda kuangalia juu ya Nafuu mbalimbali anazopata mfanyakazi aliyeachishwa […]

Biashara Sheria.8. Aina za Kampuni

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa ukurasa wetu wa Biashara Sheria. Katika makala iliyopita tumeona mfumo wa uendeshaji biashara na mamlaka inayohusika na usajili wa biashara hizo. Tumeanza kuchambua juu ya makundi ya kampuni katika makala iliyopita ambapo tumeona mgawanyo wa makundi ya aina kuu tatu. Leo tunaenda kuangalia kwa ufafanuzi zaidi aina za kampuni […]

39. Hadhi ya Tuzo katika ngazi ya Uamuzi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu  ya athari zinazokumba pande zile ambazo haziudhurii katika hatua ya usuluhishi au uamuzi. Leo tunakwenda kuangalia juu ya Hadhi ya Tuzo katika ngazi […]

Biashara Sheria.7. Makundi ya Kampuni

Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji wa ukurasa wetu wa Biashara Sheria. Katika makala iliyopita tumeona mfumo wa uendeshaji biashara na mamlaka inayohusika na usajili wa biashara hizo. Tumeona juu ya makundi makuu 3 ya uendeshaji wa biashara kisheria na usajili wake. Pia tumeangalia juu ya uchambuzi wa mifumo ya biashara binafsi na ile ya ubia […]

38. Madhara ya Kutokuudhuria Usuluhishi na Uamuzi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu ya mchakato wa utatuzi wa mgogoro kwa njia ya uamuzi. Tuliona juu ya hatua za Uamuzi. Leo tunaenda kuangalia juu ya athari zinazokumba […]

37. Hatua za Uamuzi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu ya mchakato wa utatuzi wa mgogoro kwa njia ya uamuzi. Tuliona juu namna mgogoro unavyowasilishwa kwenye ngazi ya uamuzi. Leo tunaangalia juu ya […]

36. Utatuzi wa Migogoro ya Kazi kwa njia ya Uamuzi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia hatua za usuluhishi. Leo tunaendelea kuchambua kila njia ya utatuzi wa mgogoro kwa Uamuzi ‘Arbitration’. Karibu tujifunze. Uamuzi Hii ni njia ya pili inayotumika […]

35. Hatua za Usuluhishi

Utangulizi Karibu tena ndugu msomaji wa makala za uchambuzi wa sheria ya Kazi. Tunaendelea kuchambua sheria hii yenye mahusiano ya mfanyakazi na mwajiri katika mfululizo wa makala. Katika makala iliyopita tuliangalia juu ya mchakato wa utatuzi wa mgogoro kwa njia ya usuluhishi. Tuliona juu namna mgogoro unavyowasilishwa na mambo muhimu ya kuzingatia. Leo tunaangalia juu […]