Uhuru wa Mtu kuamini Dini atakayo
Utangulizi Karibu sana ndugu msomaji na mfuatiliaji wa ukurasa huu kwenye mtandao wako wa www.ulizasheria.co.tz . Kama kawaida yetu lengo la kukuletea makala hizi fupi ni kukusaidia kuishi kwa mujibu wa sheria kila siku. Katika makala iliyopita tulijifunza juu ya Uhuru wa Mawazo. Leo tunaendelea na mfululizo makala juu ya haki mbali mbali za kibinadamu […]
You must be logged in to post a comment.